Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 1:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Tutajitwalia mali zote za bei kali, tutazijaza nyumba zetu vitu tulivyonyanganya.

Gade chapit la Kopi




Mezali 1:13
14 Referans Kwoze  

Kisha Yesu akawaambia watu wote: “Muangalie, mujilinde na tamaa yote ya mali, kwa sababu mali haiwezi kukinga uzima wa mutu, hata akiwa tajiri sana.”


Nyumba mupya itakuwa yenye utukufu zaidi kuliko ile ya kwanza. –Ni Yawe wa majeshi anayesema hivyo! Kutoka hapa nitawapa watu wangu fanaka. –Ni ujumbe wa Yawe wa majeshi!


Basi lile pango la simba limekuwa namna gani, lile lililokuwa maficho ya simba wakali? Ile nafasi ya simba imekuwa namna gani, nafasi ya wana-simba ambayo hakuna aliyeweza kuwashitua?


Ndizo njia za wanyanganyi; maisha yao yananyanganywa.


Tutawameza wakiwa wazima kama kuzimu, watakuwa kama wale wanaoshuka katika shimo.


Kuja na ushirikiane nasi, vyote tutakavyopata tutagawanyana.”


Afazali kuwa munyenyekevu pamoja na masikini, kuliko kugawanyana vitu vya unyanganyi pamoja na wenye kiburi.


Mutangaze katika nyumba nzuri kule Asidodi, na katika nyumba nzuri za inchi ya Misri: Mukusanyike kwenye milima inayoizunguka inchi ya Samaria, mujionee fujo kubwa na mateso yanayofanyika kule.


Hawajui kabisa kutenda mambo yanayokuwa sawa! –Ni ujumbe wa Yawe.– Wamejaza nyumba zao nzuri na vitu vya wizi na mateso.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite