Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 1:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Mwana wangu, usikubali kushawishiwa na wenye zambi.

Gade chapit la Kopi




Mezali 1:10
14 Referans Kwoze  

Musishiriki katika matendo ya giza yasiyofaa, lakini muyafichue.


Mutesaji mukali anamushawishi jirani yake na kumwongoza katika njia mbaya.


Heri mutu asiyefuata shauri la waovu, asiyeshiriki katika njia ya wenye zambi, wala kukusanyika na wenye kuzarau;


Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.


Kwa maana watu wa namna hii hawamutumikii Bwana wetu Kristo, lakini wanatumikia tu tumbo yao wenyewe. Tena kwa maneno yao matamu na ya kujipendekeza wanadanganya watu wasiokuwa na makosa.


miungu ya watu wanaoishi karibu nanyi au miungu ya watu wanaoishi mbali tokea incha moja ya dunia mpaka incha nyingine,


Ukimwona mwizi, unajiunga naye, nawe unashirikiana na washerati.


Mupiga domo hafichi siri. Kwa hiyo umwepuke mutu wa kusemasema.


Basi, tumwue na kumutupa ndani ya shimo moja. Kisha tutasema kwamba ameuawa na nyama wa pori. Halafu tutaona hizo ndoto zake zitakuwa namna gani.”


maana mafikiri yao yote ni juu ya kutesa tu, nayo midomo yao inasema mabaya.


Ni mutu anayekuwa hivi: anaishi kwa haki na kusema kwa usawa, anazarau kabisa utajiri wa unyanganyi, anakataa kupokea kituliro, hakubali hata kidogo kusikia mipango ya mauaji, wala hakubali macho yake yaone maovu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite