7 Yesu akamwambia: “Nitakuja kumuponyesha.”
Halafu Yesu akaenda pamoja nao. Alipokuwa karibu na kwa yule mukubwa wa waaskari, yule mukubwa akawatuma warafiki zake kumwambia Yesu: “Bwana, usijisumbue, kwa maana mimi sistahili kukupokea ndani ya nyumba yangu.
akisema: “Bwana, mutumishi wangu anawezwa na ugonjwa wa kupooza, naye amelala ndani ya nyumba, akiteswa sana.”
Lakini yule mukubwa akamujibu: “Bwana, mimi sistahili kukupokea ndani ya nyumba yangu. Lakini uamuru kwa neno tu na mutumishi wangu atapona.