Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 7:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kwa maana kila mutu anayeomba, anapewa; naye anayetafuta, anapata, naye anayepiga hodi, anafunguliwa.

Gade chapit la Kopi




Matayo 7:8
13 Referans Kwoze  

Usikuwe na mungu wa kigeni; usiabudu hata kidogo mungu mwingine.


Wanaonichukia wangenipigia magoti kwa hofu, na azabu yao ingekuwa ya milele.


Bwana akamwambia: “Kwenda katika barabara wanayoita ‘Yenye Kunyooka,’ uingie ndani ya nyumba ya Yuda, na mule umutafute mutu wa muji wa Tarso anayeitwa Saulo, utamukuta akiomba.


Maombi yake na jinsi Mungu alivyomupokea, zambi zake zote na ukosefu wa uaminifu kwake, pahali alipojenga pa kutambikia na jinsi alivyotengeneza sanamu za Ashera na sanamu zingine mbele ya kujinyenyekeza, vimeandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Waonaji.


Yesu alialikwa vilevile kwenye ndoa ile pamoja na wanafunzi wake.


Uitafute furaha yako kwa Yawe, naye atakujalia unayotamani katika moyo.


“Muombe, nanyi mutapewa; mutafute, nanyi mutapata; mupige hodi, nanyi mutafunguliwa mulango.


Ni nani kati yenu anayeweza kumupa mutoto wake jiwe kama akimwomba mukate?


Kwa maana kila mutu anayeomba anapewa; anayetafuta anapata, anayepiga hodi anafunguliwa mulango.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite