Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 7:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 “Musiwape imbwa vitu vitakatifu, kusudi wasiwageukie na kuwararua, wala musiwatupie nguruwe ushanga zenu za bei kusudi wasizikanyagekanyage.

Gade chapit la Kopi




Matayo 7:6
18 Referans Kwoze  

Usiseme maneno yako mbele ya mupumbafu, maana atazarau hekima ya maneno yako.


Mupumbafu anayerudiliarudilia upumbafu wake ni kama imbwa anayekula matapiko yake.


Mufanye angalisho na watenda maovu, wale imbwa wanaotia mukazo juu ya kushika tu desturi ya kutahiriwa.


Yesu akamujibu: “Si vizuri kukamata chakula cha watoto na kukitupia imbwa.”


Basi munazania itakuwa namna gani? Hataazibiwa vikali zaidi yule anayemuzarau Mwana wa Mungu na kuihesabu kuwa bure damu ya agano la Mungu iliyomutakasa na kumutukana Roho wa neema?


Kile kitu walichofanya kinaonyesha wazi mufano unaosema: “Imbwa amerudilia kula matapiko yake,” na: “Nguruwe aliyesafishwa amerudia tena kugaagaa katika matope!”


Kwa wakati ule watu wengi wataanguka katika imani yao; watatoana wao kwa wao na kuchukiana.


Mwanamuke muzuri asiyekuwa na akili ni kama pete ya zahabu kwenye pua la nguruwe.


kisha wakianguka, haiwezekani kuwarudisha hata wapate kugeuka mara ingine toka katika matendo yao mabaya. Kwa sababu wamemutundika wao wenyewe Mwana wa Mungu mara ya pili na kumupatisha haya mbele ya watu.


Katika safari zangu nyingi nimepata hatari ya mafuriko ya mito, hatari ya wanyanganyi, hatari kutoka kwa wanainchi wenzangu na kutoka kwa watu wa mataifa mengine. Nilikuwa katika hatari ndani ya miji, katika jangwa, katika bahari na kati ya wandugu za uongo.


Usimujibu mupumbafu kipumbafu, kusudi usifanane naye.


Wewe munafiki, ondosha kwanza nguzo kutoka ndani ya jicho lako, kisha utaweza kuona waziwazi na kuweza kuondoa ile vumbi inayokuwa ndani ya jicho la ndugu yako.


Lakini mbali ya muji ule kuna watu wenye kuchukiza, wachawi, wazinzi, wauaji, wanaobudu sanamu na wasema uongo na wote wanaoupenda.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite