Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 6:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Kwa maana pahali akiba yako inapokuwa, ni pale roho yako inapokuwa vilevile.

Gade chapit la Kopi




Matayo 6:21
14 Referans Kwoze  

Maana sisi hatuangalii vitu vile vinavyoonekana, lakini vitu visivyoonekana. Kwa sababu vile vinavyoonekana vinadumu muda kidogo tu, lakini vile visivyoonekana, vinadumu milele.


Kwa maana pahali akiba yenu inapokuwa, ni pale roho zenu zinapokuwa vilevile.


Linda moyo wako kwa uangalifu wote, maana mule munatokea chemichemi za uzima.


Enyi watu wa Yerusalema, Yawe atawajalia usalama, atawaokoa na kuwapa hekima na maarifa. Akiba yenu kubwa ni kumwogopa Yawe.


Basi wandugu zangu, muangalie vizuri, kati yenu kusikuwe mutu mumoja mwenye moyo mubaya wa kutokuamini, aliyefikia hata kujitenga mbali na Mungu Mwenye Uzima.


Wewe Yerusalema, usafishe maovu ya moyo wako, kusudi upate kuokolewa. Mpaka wakati gani utaendelea kuchunga maovu?


Ninyi kikundi cha nyoka! Namna gani ninyi munaokuwa wabaya, munaweza kusema maneno mazuri? Kwa maana kinywa kinasema maneno yanayojaa ndani ya moyo.


Wewe hauna sehemu wala haki yoyote katika jambo hili, kwa sababu moyo wako si mukamilifu mbele ya Mungu.


Lakini macho yako wewe na moyo wako, vinaelekea tu mapato yasiyokuwa ya haki. Unamwanga damu ya wasiokuwa na kosa, nawe unawatesa watu na kuwatendea kwa ukali.


Tunawatakia neema na amani toka kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.


Mimi Paulo ninaandika kwa mukono wangu mwenyewe maneno haya: nitakulipa. (Sitaki kusema kwamba maisha yako ni deni unalokuwa nalo kwangu.)


“Macho ni taa ya mwili. Kama macho yako yakiwa mazima, mwili wako wote utabaki katika mwangaza.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite