Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 4:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, ujitupe chini; kwa maana imeandikwa: ‘Mungu atawaamuru wamalaika wake na watakubeba katika mikono yao, kusudi muguu wako usijikwae juu ya jiwe.’ ”

Gade chapit la Kopi




Matayo 4:6
9 Referans Kwoze  

Malaika ni nini, basi? Wao wote ni roho wanaomutumikia Mungu na wanaotumwa naye kwa ajili ya faida ya wale wanaopaswa kuokolewa.


Masikini alimulilia Yawe, naye akamusikia, na kumwokoa katika taabu zake zote.


Na jambo hilo si la kushangaza kwa maana Shetani mwenyewe anajisingizia kuwa malaika wa mwangaza.


Mateso ya mutu wa haki ni mengi, lakini Yawe anamwokoa kutoka katika yote.


Yesu akamujibu: “Imeandikwa hivi katika Maandiko Matakatifu: ‘Mutu hawezi kuishi kwa mukate tu, lakini kwa njia ya kushika kila neno Mungu analosema.’ ”


Nawe utapatana na mawe ya shamba, na nyama wakali watakuwa na amani nawe.


Si wewe mwenyewe unamulinda pande zote pamoja na jamaa yake na kila kitu anachokuwa nacho? Wewe umemubariki na mali yake imeongezeka katika inchi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite