13 Wakati ule Yesu akatoka Galilaya na kufika kwenye muto Yordani, akamwendea Yoane kusudi abatizwe naye.
Lakini aliposikia kwamba Arkelao alitawala katika jimbo la Yudea kwa pahali pa baba yake Herode, Yosefu akaogopa kwenda kule. Na alipokwisha kuonywa katika ndoto, akaenda katika jimbo la Galilaya.
Waliungama zambi zao, naye Yoane aliwabatiza katika muto Yordani.
Lakini Yoane akamukatalia, akimwambia: “Ni mimi ninayepaswa kubatizwa nawe; namna gani unakuja kwangu?”
Mimi sikumujua, lakini nimekuja kubatiza kwa maji kusudi ajulikane kwa taifa la Waisraeli.”