Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 27:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Na katika siku zile kulikuwa mufungwa mumoja aliyejulikana sana, jina lake Baraba.

Gade chapit la Kopi




Matayo 27:16
9 Referans Kwoze  

Kulikuwa mufungwa mumoja, jina lake Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi wamoja kwa sababu ya uuaji na uasi walioufanya.


Nao wanajua kwamba Sheria ya Mungu inasema kwamba watu wanaotenda maneno haya wanastahili kufa. Lakini hata hivi wanaendelea, si kuyafanya tu, lakini kukubaliana na wale wanaoyatenda.


Yeye alikuwa Mutakatifu na Mwenye Haki, lakini mukamukana, mukataka Pilato awafungulie mwuaji.


Halafu wakalalamika kwa nguvu: “Hatutaki mutu huyu! Tunataka utufungulie Baraba!” (Yule Baraba alikuwa munyanganyi.)


Akamufungua yule mutu waliyetaka, aliyefungwa kwa ajili ya kuleta fujo na kuua watu, na kumutoa Yesu kwao kusudi wamutendee vile walivyotaka.


Kila sikukuu ya Pasaka, liwali alikuwa na desturi ya kuwafungulia watu mufungwa mumoja wanayemutaka.


Nao watu walipokuwa wamekusanyika pamoja, Pilato akawauliza: “Munataka niwafungulie nani kati ya Baraba na Yesu anayeitwa Kristo?”


Munisalimie wanainchi wenzangu Androniko na Yunia, waliofungwa pamoja nami katika kifungo. Wao wanasifiwa sana kati ya mitume, nao walikuwa katika Kristo mbele yangu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite