Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 27:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Na kisha wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakamushitaki,

Gade chapit la Kopi




Matayo 27:12
10 Referans Kwoze  

Lakini Yesu akanyamaza. Kuhani Mukubwa akamwambia: “Ninakuapisha kwa jina la Mungu Mwenye Uzima, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.”


Alionewa na kuteswa, lakini alivumilia kwa unyenyekevu, bila kutoa sauti hata kidogo. Alikuwa kama mwana-kondoo anayepelekwa kwenda kuchinjwa, kama kondoo anavyokaa kimya anapokatwa manyoya. Hakutoa sauti hata kidogo.


Wakati walipomutukana, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha watu hata wamwogope. Lakini alijiachilia katika mikono ya Mungu anayehukumu watu kwa haki.


Na sehemu ya Maandiko aliyokuwa akisoma ni hii: “Alipelekwa kama kondoo kwenda kuchinjwa, kama mwana-kondoo anayenyamaza mbele ya mwenye kumukata manyoya. Yeye hakufungua kinywa chake.


Lakini Yesu hakumujibu hata juu ya neno moja, hata yule liwali akashangaa sana.


lakini hakujibu neno. Halafu Pilato akamwuliza tena: “Hausikii mambo haya yote wanayokushitakia?”


Akamwuliza Yesu maneno mengi, lakini yeye hakumujibu neno.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite