Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 26:68 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

68 wakisema: “Ewe Kristo, tambua ni nani aliyekupiga!”

Gade chapit la Kopi




Matayo 26:68
11 Referans Kwoze  

Wengine katikati yao wakaanza kumutemea Yesu mate, wakamufunika uso na kumupiga ngumi, wakimwambia: “Tambua sasa ni nani aliyekupiga!” Nao waaskari walinzi wakamukamata Yesu na kumupiga makofi.


Walipojaa na furaha sana ndani ya mioyo yao, wakasema: “Mulete Samusoni atuchekeshe.” Basi wakamutosha Samusoni katika kifungo, wakamuleta naye akawachekesha. Wakamuweka katikati ya nguzo.


Halafu wamoja wakamutemea mate juu ya uso, na kumupiga ngumi. Na wengine wakamupiga makofi,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite