Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 26:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Yesu akajibu: “Yule aliyechovya mukate pamoja nami ndani ya sahani ndiye atanitoa.

Gade chapit la Kopi




Matayo 26:23
6 Referans Kwoze  

“Sisemi juu ya ninyi wote; ninawajua wale niliowachagua. Lakini inafaa maneno haya yanayosemwa na Maandiko Matakatifu yatimie: ‘Yule aliyechangia chakula nami, amenigeuka.’


Wanasema: “Magonjwa haya yatamwua; hatatoka tena ndani ya kitanda chake!”


“Lakini muangalie: yule anayenitoa anachangia chakula pamoja nami.


Muvivu anatia mukono wake katika sahani lakini hauinui mpaka kwenye midomo.


Wanafunzi wakahuzunika sana na kuanza kumwuliza mumoja kwa mumoja: “Bwana, ni mimi?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite