Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 26:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Wanafunzi wakahuzunika sana na kuanza kumwuliza mumoja kwa mumoja: “Bwana, ni mimi?”

Gade chapit la Kopi




Matayo 26:22
7 Referans Kwoze  

Basi wakaanza kuulizana wao kwa wao ni nani kati yao atakayefanya jambo lile.


Kisha Yesu akamwuliza mara ya tatu: “Simoni mwana wa Yoane, unanipenda?” Basi Petro akauzika kwa sababu Yesu alimwuliza mara ya tatu kama anamupenda. Kwa hiyo akamujibu: “Bwana, unajua yote; unajua kama ninakupenda!” Yesu akamwambia: “Tunza kondoo wangu.


Nao walipokuwa wakikula, akasema: “Kweli ninawaambia: mumoja kati yenu atanitoa.”


Yesu akajibu: “Yule aliyechovya mukate pamoja nami ndani ya sahani ndiye atanitoa.


Basi kila mutu ajichunguze mwenyewe na kisha akule mukate huu na kunywa kikombe hiki.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite