Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 24:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Na haya yote ni kama mwanzo wa maumivu ya kuzaa tu.

Gade chapit la Kopi




Matayo 24:8
12 Referans Kwoze  

Watu watakapokuwa wakisema: “Kuna amani na usalama”, ndio wakati uharibifu utakapowapata kwa rafla kama vile maumivu ya kuzaa yanavyomupata mwanamuke mwenye mimba, wala hawataweza kuponyoka.


basi, Yawe atawaletea ninyi na wazao wenu mateso yasiyokuwa ya kawaida, mateso makali yasiyoponyeshwa na ya kudumu, na magonjwa makali ya kudumu.


Hakuna! Mutajikunja tu kati ya wafungwa na kuangamia pamoja na wanaouawa katika vita. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu.


Uovu unawaka kama moto unaoteketeza michongoma na miiba; unawaka kama moto katika pori, na kutoa moshi muzito unaopanda juu katika anga.


Ingawa aliwaazibu watu, hawakumurudilia Yawe wa majeshi.


Maumivu kama ya kuzaa mutoto yanamufikia. Lakini yeye ni mutoto mupumbafu; wakati wa kuzaliwa unapofika yeye anakataa kutoka ndani ya tumbo la mama!


Kwa maana taifa litapigana na taifa, na ufalme utapigana na ufalme. Kutakuwa tetemeko la inchi pahali mbalimbali. Vilevile kutakuwa njaa. Na haya yote ni kama mwanzo wa maumivu ya kuzaa tu.


Lakini mbele mambo hayo yote yatokee, mutakamatwa na kuteswa. Watawapeleka kwenda kuhukumiwa katika nyumba za kuabudia na kuwatia katika vifungo. Vilevile mutapelekwa mbele ya wafalme na ya wakubwa kwa ajili ya jina langu,


Basi, munisikilize sasa ninyi watajiri! Mulie na kuomboleza kwa sababu ya taabu itakayowapata.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite