Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 23:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Musikubali kuitwa ‘Waongozi,’ kwa maana muko na Mwongozi Mukubwa mumoja tu, ndiye Kristo.

Gade chapit la Kopi




Matayo 23:10
5 Referans Kwoze  

Lakini ninyi musikubali kuitwa ‘Mwalimu’, kwa maana ninyi wote ni wandugu, nanyi muko na Mwalimu mumoja tu.


Vilevile hapa katika dunia musimwite mutu yeyote ‘Baba’ kwa maana muko na Baba mumoja tu, anayekuwa mbinguni.


Lakini anayekuwa mukubwa kati yenu sherti akuwe mutumishi wenu.


Yesu akawaambia kwamba waende katika muji kwa mutu mumoja na kumwambia: “Mwalimu anasema: ‘Siku yangu inakaribia. Mimi na wanafunzi wangu tutakula karamu ya Pasaka kwako.’ ”


Kuna utumishi wa namna mbalimbali, lakini ni Bwana mumoja ndiye wanayemutumikia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite