Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 22:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 “Ufalme wa mbinguni unafanana na mufalme mumoja aliyemufanyia mwana wake karamu ya ndoa.

Gade chapit la Kopi




Matayo 22:2
15 Referans Kwoze  

Yesu akawaambia mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mutu mumoja aliyepanda mbegu nzuri ya ngano katika shamba lake.


Mimi ninasikia wivu kwa ajili yenu sawa vile Mungu anavyousikia vilevile. Kwa maana ninyi ni kama binti mukamilifu niliyemwowesha kwa mume mumoja, ndiye Kristo.


Yesu akaendelea kusema na lile kundi la watu kwa mifano. Akawaambia:


Mukuwe kama watumishi wanaomungojea bwana wao arudie kutoka katika karamu ya ndoa, kusudi wakati anapofika na kupiga hodi wamufungulie mulango mara moja.


Yesu alialikwa vilevile kwenye ndoa ile pamoja na wanafunzi wake.


Kisha mutafanya kama vile watakavyowatangazia pale pahali Yawe atakapochagua. Mutakuwa waangalifu kufanya yote kama vile watakavyowaagiza.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite