Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 21:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Nalo kundi la watu waliomutangulia Yesu na lile la watu waliofuata nyuma yake, wakaanza kulalamika, wakisema: “Usifiwe wewe Mwana wa Daudi! Abarikiwe huyu anayekuja kwa jina la Bwana! Mungu asifiwe juu mbinguni!”

Gade chapit la Kopi




Matayo 21:9
11 Referans Kwoze  

“Sifa kwa Mungu juu mbinguni, na amani katika dunia kwa watu anaowapenda.”


Kwa maana ninawaambia, tangia sasa hamutaniona tena mpaka mutakaposema: ‘Abarikiwe huyu anayekuja kwa jina la Bwana.’ ”


Lakini wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria wakachukizwa kwa kuona miujiza aliyoifanya na watoto waliokuwa wakilalamika katika hekalu, wakisema: “Usifiwe wewe, mwana wa Daudi!”


Yesu akaondoka toka pale, naye alipokuwa katika njia, vipofu wawili wakamufuata wakilalamika, wakisema: “Utuhurumie, Ee Mwana wa Daudi!”


Haleluia! Mumusifu Yawe kutoka mbinguni, mumusifu kutoka huko juu mbinguni.


Yesu alipoingia Yerusalema, muji wote ukavuma. Watu wakaulizana: “Huyu ni nani?”


Makao yenu yataachwa ukiwa. Lakini ninawaambia: tangia sasa hamutaniona tena mpaka mutakaposema: ‘Abarikiwe huyu anayekuja kwa jina la Bwana.’ ”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite