Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 21:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Wakaleta punda pamoja na mwana-punda, wakatandika nguo juu yao na Yesu akaikaa juu ya nguo zile.

Gade chapit la Kopi




Matayo 21:7
6 Referans Kwoze  

Mara moja wakubwa wenzake wakavua nguo zao, wakazilundika pamoja kwenye ngazi kusudi asimame juu yake, wakapiga baragumu na kulalamika kwa sauti: “Yehu ni mufalme!”


akawaambia: “Mwende katika kijiji kinachokuwa mbele yenu. Wakati mutakapofika kule, mara moja mutaona punda amefungwa na mwana-punda akiwa pamoja naye. Muwafungue na kuwaleta.


Basi wale wanafunzi wakaenda, nao wakafanya sawa Yesu alivyowaagiza.


Watu wengi wakatandika nguo zao katika njia, na wengine wakakata matawi ya miti na kuyatandika katika njia vilevile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite