Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 21:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Basi wale wanafunzi wakaenda, nao wakafanya sawa Yesu alivyowaagiza.

Gade chapit la Kopi




Matayo 21:6
9 Referans Kwoze  

Ninyi ni warafiki zangu, kama mukifanya sawa ninavyowaagiza.


“Ninajuta kwamba nimemufanya Saulo kuwa mufalme. Yeye ameacha kunifuata mimi na hajatimiza amri zangu.” Samweli alikasirika, akamulilia Yawe usiku kucha.


Basi, Musa alitimiza kwa ukamilifu kabisa maagizo yote ya Yawe.


Musa akachunguza kila kitu, akaona kwamba walikuwa wamefanya kila kitu kama vile Yawe alivyoamuru. Hivyo Musa akawabariki.


Kwa hiyo, Abramu akaondoka kama vile Yawe alivyomwamuru, na Loti akakwenda pamoja naye. Abramu alikuwa na umri wa miaka makumi saba na mitano alipotoka Harani.


Noa akafanya yote kama vile Mungu alivyomwamuru.


“Muwaambie wakaaji wa muji Sayuni: ‘Angalia, mufalme wenu anakuja kwenu. Yeye ni munyenyekevu, amepanda juu ya punda, juu ya mwana-punda, kitoto cha punda.’ ”


Wakaleta punda pamoja na mwana-punda, wakatandika nguo juu yao na Yesu akaikaa juu ya nguo zile.


Basi, nikafanya kama nilivyoamriwa. Siku hiyo, wakati wa muchana, nikafunga muzigo wangu kama muzigo wa mutu anayekimbia. Magaribi nikatoboa ukuta na giza lilipokuwa likiingia, nikatoka, nikibeba muzigo wangu juu ya mabega, watu wote wakiniona.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite