Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 20:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Ilipokuwa saa tatu za asubui, akatoka tena akawaona watu wengine wakisimama bure kwenye nafasi ya makutano.

Gade chapit la Kopi




Matayo 20:3
12 Referans Kwoze  

Na zaidi ya hiyo, wanashikwa na uvivu na kuwa na tabia ya kutangatanga nyumba kwa nyumba. Na si ile tu, vilevile wao ni wakatetea na wenye kujiingiza katika maneno ya watu wengine na kusema maneno yasiyofaa.


Watu hawa si walevi kama munavyozani, kwa sababu ingali tu saa tatu ya asubui.


Ilikuwa saa tatu ya asubui wakati walipomutundika juu ya musalaba.


Kosa la dada yako Sodoma, lilikuwa hili: yeye pamoja na wabinti wake walipokuwa na chakula nao walifanikiwa sana, walianza kujivuna, wakaacha kuwasaidia wamasikini na wakosefu.


Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.


Basi musigeuke kuwa wavivu, lakini mufuate mufano wa wale wanaoamini na kuvumilia. Kwa njia hiyo wanapokea yale Mungu aliyoahidi kuwapa.


Akapatana na watumishi wamoja kuwalipa kila mutu kikoroti kimoja cha feza sawa na kawaida, naye akawatuma katika shamba lake.


Akawaambia: ‘Ninyi vilevile muende kutumika katika shamba langu la mizabibu, nami nitawalipa sawa na haki yenu.’


Halafu wabwana wa yule mujakazi wakaona kwamba hawataweza tena kupata mali kutoka kwa yule aliyekuwa kitumaini chao. Kwa hiyo wakakamata Paulo na Sila, wakawakokota na kuwapeleka mbele ya wakubwa kwenye nafasi ya makutano.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite