10 Na wale waliotangulia kuanza kazi wakakuja, wakizani kwamba watapewa zaidi. Lakini nao vilevile wakapokea kila mutu kikoroti kimoja cha feza.
Akapatana na watumishi wamoja kuwalipa kila mutu kikoroti kimoja cha feza sawa na kawaida, naye akawatuma katika shamba lake.
Wale walioanza kazi na saa kumi na moja ya magaribi wakakuja, na kila mutu akapokea kikoroti kimoja cha feza.
Watu wale walipopokea mushahara ule, wakamunungunikia mwenye shamba.
Halafu Petro akamwuliza: “Angalia, sisi tumeacha vyote na kukufuata wewe! Basi na sisi tutapata nini?”