Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 2:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kisha akawatuma Betelehemu, akiwaambia: “Mwende mupeleleze habari kamili za mutoto yule. Nanyi mutakapomwona munijulishe kusudi mimi vilevile niende kumwabudu.”

Gade chapit la Kopi




Matayo 2:8
20 Referans Kwoze  

Nani anayeweza kusema kusudi kitu kifanyike ikiwa Yawe asipoamuru ikuwe hivyo?


Hakuna hekima, ufahamu, wala shauri yoyote ya mutu, itakayoweza kupingana na Yawe.


Yezebeli akatuma mujumbe kwa Elia amwambie: “Miungu waniue, ninakuapia, kama kesho nisipokuua kwa wakati kama huu sawa vile ulivyowaua wale manabii.”


Abusaloma pamoja na watu wote wa Israeli wakasema: “Shauri la Husayi ni bora kuliko shauri la Ahitofeli.” Wakakataa shauri la Ahitofeli kwa sababu Yawe alikuwa amepanga kulishinda shauri jema la Ahitofeli kusudi aweze kumuletea Abusaloma hasara.


Yesu alizaliwa Betelehemu katika Yudea wakati wa utawala wa mufalme Herode. Kisha kuzaliwa kwake, watu wenye elimu kutoka mashariki wakafika Yerusalema.


Basi Herode akawaita kwa siri wale wenye elimu kusudi wamujulishe hakika wakati gani nyota ile ilipotokea.


Kisha kumusikiliza mufalme, wakaondoka. Ile nyota waliyoiona tokea mashariki iliwatangulia, nayo ikaenda na kusimama juu ya pahali mutoto alipokuwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite