Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 19:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Yesu akawajibu: “Musa aliwapa ninyi ruhusa ya kuachana na wake wenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. Lakini haikuamuriwa vile tangu mwanzo.

Gade chapit la Kopi




Matayo 19:8
14 Referans Kwoze  

Ndiyo maana mwanaume anamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana na muke wake, nao wawili wanakuwa mwili mumoja.


Yesu akawaambia: “Musa aliwaandikia amri ile kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu.


Wakaifanya mioyo yao kuwa migumu kama jiwe, wasipate kusikia sheria yangu mimi Yawe wa majeshi niliyoitangaza kwa roho yangu kwa kupitia manabii waliotangulia. Kwa hiyo, mimi Yawe wa majeshi nikawaka hasira juu yao,


Maneno hayo ninayowaambia si amri, lakini ni ruhusa tu ninayowapa.


Wale pepo wakamusihi Yesu wakisema: “Ikiwa unataka kutufukuza, ututume tuingie ndani ya wale nguruwe.”


Lakini Yesu akamujibu: “Ukubali kufanya hivi sasa. Kwa maana ni kwa njia hii tutatimiza mambo yote yanayokuwa ya haki mbele ya Mungu.” Basi Yoane akakubali.


Yawe anasema hivi: Musimame katika masanganjia, muangalie. Muulize juu ya matukio ya zamani. Mutafute pahali panapokuwa njia nzuri muifuate, nanyi mutaweza kupumzika. Lakini wao wakasema: Hatutafuata njia hiyo.


“Musikuwe wagumu kama kule Meriba, kama ilivyokuwa kule Masa katika jangwa,


Noa, muke wake, wana wake na wake zao wakaingia ndani ya chombo kwa kuepuka mafuriko ya maji.


Halafu Wafarisayo wakamwuliza: “Kwa sababu gani basi Musa aliamuru kuandika barua ya kuachana wakati wa kumufukuza mwanamuke?”


Na sasa mimi ninawaambia: kila mutu anayeachana na muke wake, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi tu, na kumwoa muke mwingine, anazini.”


Kwa mwisho Yesu akawatokea wanafunzi kumi na mumoja walipokuwa wakikula. Naye akawakaripia kwa sababu ya kutokuamini kwao na kwa sababu ya ugumu wao. Kwa maana hawakusadikia wale waliomwona nyuma ya kufufuka kwake.


Tena Daudi alimwoa Ahinoamu wa Yezereheli. Hivyo hao wawili wakakuwa wake zake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite