Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 17:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Kisha wanafunzi wakamwuliza: “Kwa nini basi walimu wa Sheria wanasema kwamba sherti Elia arudi kwanza?”

Gade chapit la Kopi




Matayo 17:10
9 Referans Kwoze  

Na ikiwa munasadiki, Yoane ndiye nabii Elia aliyepaswa kuja.


Wakamwuliza Yoane: “Ikiwa wewe si Kristo, wala Elia, wala yule nabii, basi sababu gani unabatiza?”


Halafu wakamwuliza: “Basi wewe ni nani? Wewe ni Elia?” Yoane akajibu: “Mimi si yeye.” Wakamwuliza tena: “Wewe ni yule nabii?” Naye akawajibu: “Hapana.”


Kisha wakamwuliza Yesu: “Kwa nini walimu wa Sheria wanasema kama sherti Elia arudi kwanza?”


Nao wakamujibu: “Wamoja wanasema kwamba yeye ni Yoane Mubatizaji; wengine wanasema kwamba yeye ni Elia, na wengine wanasema ni Yeremia au mumoja wa manabii wengine.”


Yesu akawajibu: “Hakika Elia anapaswa kurudi kwanza kutengeneza mambo yote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite