Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 15:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Halafu wanafunzi wakamufikia na kumwuliza: “Unajua kwamba Wafarisayo walikwazwa kwa kusikia maneno hayo uliyosema?”

Gade chapit la Kopi




Matayo 15:12
9 Referans Kwoze  

Lakini hekima inayotoka mbinguni, kwanza ni safi, tena ni yenye amani, upole na usikilivu, inajaa huruma na matendo mema. Haina upendeleo wala udanganyifu.


Lakini hatukukubali kuwatii watu wale hata kidogo, kusudi ukweli wa Habari Njema uendelee kuchungwa kati yenu siku zote.


Sisi hatutaki kumukwaza mutu yeyote katika jambo lolote kusudi kazi yetu isizarauliwe.


Lakini haifai kuwakwaza. Kwa hiyo kwenda kwenye ziwa, na utupe ndoana ndani ya maji. Na samaki wa kwanza utakayemunasa, ufungue kinywa chake, nawe utaona kikoroti cha feza. Ukikamate na kukitoa kwa kulipa kodi kwa ajili yetu sisi wawili.”


Heri mutu yule mimi sitakayekuwa kikwazo kwake!”


Kitu kinachoingia ndani ya kinywa cha mutu hakiwezi kumuchafua. Lakini ni kile kinachotoka ndani ya kinywa chake ndicho kinachomuchafua.”


Yesu akajibu: “Wao ni kama mumea usiopandwa na Baba yangu wa mbinguni, utakaopaswa kuongolewa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite