Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 13:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Alipokuwa akipanda mbegu katika shamba lake, zimoja zikaanguka pembeni ya njia, nao ndege wakakuja na kuzikula.

Gade chapit la Kopi




Matayo 13:4
6 Referans Kwoze  

Halafu akawafundisha mambo mengi akitumia mifano, akasema: “Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.


Zingine zikaanguka pahali penye mawe, pasipokuwa udongo mwingi. Nazo zikaota upesi, kwa sababu hapakukuwa udongo mwingi.


Alipokuwa akipanda mbegu katika shamba, zimoja zikaanguka pembeni ya njia, nao ndege wakakuja na kuzikula.


“Mupandaji mumoja alikwenda kupanda mbegu. Alipokuwa akipanda mbegu katika shamba lake, zimoja zikaanguka pembeni ya njia. Watu wakazikanyagakanyaga na ndege wakazikula.


Yesu alipokaribia muji Yeriko, mutu mumoja kipofu alikuwa akiikaa pembeni ya njia akiombaomba.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite