Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 13:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 “Lakini heri kwenu, kwa sababu macho yenu yanaona na masikio yenu yanasikia!

Gade chapit la Kopi




Matayo 13:16
8 Referans Kwoze  

Halafu Yesu akamwambia: “Heri kwako, wewe Simoni mwana wa Yona, kwa maana hakuna mutu aliyekufunulia neno hili isipokuwa Baba yangu anayekuwa mbinguni.


Na Yesu akamwambia: “Umeamini kwa sababu umeniona? Heri wale wanaoamini pasipo kuona!”


Yule Mungu aliyesema: “Mwangaza uangaze katika giza,” ndiye aliyeangaza ndani ya mioyo yetu, na kutuwezesha kufahamu utukufu wa Mungu unaongaa kwenye uso wa Kristo.


kusudi ufungue macho yao, ukiwaongoza watoke katika giza na kuwaingiza katika mwangaza. Watatoka chini ya uwezo wa Shetani na kumugeukia Mungu, kusudi kwa njia ya kuniamini wapate kusamehewa zambi zao na kupewa urizi pamoja na watu wake watakatifu.’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite