Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Matayo 12:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Akawaagiza wasimutambulishe kwa watu.

Gade chapit la Kopi




Matayo 12:16
7 Referans Kwoze  

Walipokuwa wakishuka toka kwa mulima, Yesu akawaamuru: “Musimwelezee mutu mambo muliyoona mpaka Mwana wa Mutu atakapofufuka.”


Nayo macho yao yakapona. Na Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema: “Angalisho, musimujulishe hata mutu mumoja jambo hili.”


Kisha Yesu akamwambia: “Angalisho, usimwambie mutu neno juu ya hii. Lakini kwenda na kumwonyesha kuhani jinsi unavyokuwa sasa. Kisha utoe sadaka kama Musa alivyoamuru, kuwa ushuhuda kwa watu wote kwamba umetakaswa.”


Yesu akawaagiza wasimwambie mutu habari ya tendo hili. Lakini kwa kadiri alivyowakataza, wao walizidi kutangaza habari.


Ilitokea vile kusudi yatimie maneno haya Mungu aliyoyasema kwa njia ya nabii Isaya:


Yesu na wanafunzi wake wakaenda peke yao pembeni ya ziwa la Galilaya, na kundi kubwa la watu walimufuata. Watu hawa walitoka Galilaya na Yudea,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite