9 Musibebe zahabu, wala feza, wala vikoroti vya shaba ndani ya mikaba yenu.
Halafu Yesu akawauliza wanafunzi wake: “Nilipowatuma pasipo kubeba feza, wala mufuko, wala viatu, mulikosewa na kitu gani?” Wakamujibu: “Hakuna.”
Muponyeshe wagonjwa, mufufue wafu, mutakase wenye ukoma, mufukuze pepo. Mulipokea bure, mutoe bure vilevile.
Aliwaita wanafunzi wake kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawili wawili na kuwapatia uwezo wa kufukuza pepo.