Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 9:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Mara moja wanafunzi waliangalia pande zao zote, hawakumwona mutu mwingine pamoja nao, isipokuwa Yesu peke yake.

Gade chapit la Kopi




Marko 9:8
6 Referans Kwoze  

Nayo maneno haya yakasikilika tena mara tatu, kisha chombo kile kikanyanyuliwa mbinguni.


Halafu, macho yao yakafumbuliwa, wakamutambua. Lakini yeye akatoweka, nao hawakumwona tena.


Nyuma ya kusikilika kwa sauti ile, Yesu akaonekana amebaki peke yake. Wale wanafunzi wakachunga mambo hayo yote kwa siri wala hawakumwambia mutu neno katika siku zile.


Halafu wingu likatokea na kuwafunika, na sauti ikasikilika toka katikati ya lile wingu ikisema: “Huyu ni Mwana wangu mupendwa. Mumusikilize!”


Walipokuwa wakishuka toka kwa mulima, Yesu akawaamuru: “Musimwelezee mutu mambo muliyoona mpaka Mwana wa Mutu atakapofufuka.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite