Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 9:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Lakini Yesu akajibu: “Musimukataze, kwa maana hakuna mutu anayefanya miujiza kwa jina langu, ambaye anaweza nyuma kidogo kusema vibaya juu yangu.

Gade chapit la Kopi




Marko 9:39
11 Referans Kwoze  

Kwa sababu hii ninataka mufahamu kwamba hakuna mutu ambaye anaongozwa na Roho wa Mungu anayeweza kusema: “Yesu alaaniwe,” na hakuna mutu anayeweza kusema: “Yesu ni Bwana,” kama asipoongozwa na Roho Mutakatifu.


Basi si kitu! Ikiwa nia yao ni mbaya au ni nzuri habari za Kristo zinatangazwa kwa namna mbalimbali, kwa hiyo ninafurahi. Na nitaendelea kufurahi tena,


Lakini ninatesa mwili wangu kwa mazoezi makali na kuutumikisha vikali kusudi mimi mwenyewe nisikataliwe kisha kutangaza ujumbe kwa watu wengine.


Yoane akamwambia Yesu: “Mwalimu, tulimwona mutu mumoja akifukuza pepo kwa jina lako, nasi tulimukataza kwa sababu yeye si wa kikundi chetu.”


Ni vile kwa maana asiyekuwa adui yetu, ni wa upande wetu.


Yawe awalipe hayo hao watu wanaonishitaki, hao wanaosema mabaya juu yangu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite