Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 9:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Yoane akamwambia Yesu: “Mwalimu, tulimwona mutu mumoja akifukuza pepo kwa jina lako, nasi tulimukataza kwa sababu yeye si wa kikundi chetu.”

Gade chapit la Kopi




Marko 9:38
5 Referans Kwoze  

Tena ikiwa ninafukuza pepo kwa uwezo wa Belzebuli, basi watu wa kikundi chenu wanawafukuza kwa uwezo wa nani? Watu hao watashuhudia kwa njia ya matendo yao kwamba ninyi ni wakosaji.


Lakini Yesu akajibu: “Musimukataze, kwa maana hakuna mutu anayefanya miujiza kwa jina langu, ambaye anaweza nyuma kidogo kusema vibaya juu yangu.


Nao wote watakaoniamini watafanya vitambulisho hivi: watafukuza pepo kwa jina langu; watasema kwa luga mupya;


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite