Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 9:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Yesu akawajibu: “Pepo wa namna hii wanaweza kufukuzwa tu kwa njia ya maombi.”

Gade chapit la Kopi




Marko 9:29
17 Referans Kwoze  

Nao wakiomba kwa imani, mugonjwa yule atapona, kwa kuwa Bwana atamurudishia afya yake. Na ikiwa amefanya zambi, atasamehewa.


Yesu akawajibu: “Kwa sababu imani yenu ni ndogo. Kweli ninawaambia kama mukiwa na imani, hata ikiwa tu kama punje ndogo sana ya mbegu ya haradali, mutaweza kuuambia mulima huu: ‘Toka hapa uende kule,’ nao utatoka pale. Hakuna kitu chochote kitakachokosa kuwezekana kwenu. [


Nilimwomba Yawe, kwa moyo, nikimutolea maombi pamoja na kufunga kula chakula, nikavaa gunia na kuikaa kwenye majivu.


Mumwombe Mungu kila wakati mukiongozwa na Roho. Mumwombe na kumusihi kwa kila namna. Kwa hiyo mukeshe bila kuchoka mukiwaombea watu wote wa Mungu.


Nami nilimusihi Bwana mara tatu kusudi aniondolee kitu kile.


Nimesumbuka kwa kufanya kazi ngumu, nimepata magumu, nimekesha mara nyingi. Mara nyingi niliteswa na njaa na kiu; mara nyingi nililazimishwa kutokula. Nimeteseka na baridi na ukosefu wa nguo.


Halafu anakwenda kutwaa pepo wengine saba wanaokuwa wabaya kumupita, nao wanaingia na kukaa mule. Na hali ya mwisho ya mutu yule inageuka mbaya kuliko hali yake ya kwanza.”


Lakini ninatesa mwili wangu kwa mazoezi makali na kuutumikisha vikali kusudi mimi mwenyewe nisikataliwe kisha kutangaza ujumbe kwa watu wengine.


Wakawachagua wazee katika kila kanisa. Na kisha kuomba na kufunga kula chakula, wakawaweka chini ya ulinzi wa Bwana waliyemwamini.


Halafu anakwenda kutwaa pepo wengine saba wanaokuwa wabaya kumupita, nao wote wanakuja kuingia na kukaa mule. Na hali ya mwisho ya mutu yule inageuka mbaya kuliko hali yake ya kwanza. Na hivi ndivyo itakavyokuwa kwa watu wa kizazi hiki kibaya.”


Tumepigwa, tumetiwa ndani ya kifungo, wamefanya fujo juu yetu, tumefanya kazi ngumu, tumekoseshwa usingizi na kukaa bila kula.


Lakini pepo wa namna hii hawawezi kufukuzwa isipokuwa tu kwa njia ya maombi na kufunga kula chakula.]”


Yesu alipokwisha kuingia ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamwuliza hivi wakiwa peke yao: “Sababu gani sisi hatukuweza kumufukuza yule pepo?”


Yesu na wanafunzi wake wakatoka kule na kupitia jimbo la Galilaya. Yesu hakutaka mutu ajue pahali walipokuwa,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite