Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 9:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Mara moja, watu walipomwona Yesu, wakashangaa sana, wakakimbia kwenda kumusalimia.

Gade chapit la Kopi




Marko 9:15
7 Referans Kwoze  

Haruni na watu Waisraeli wote walipomwona wakaogopa kumukaribia, maana uso wake ulikuwa unangaa.


Yesu akawauliza wanafunzi wake: “Munabishana nao juu ya nini?”


Wakati Yesu alipoona watu wengi wanazidi kukusanyika mbiombio, akamukaripia yule pepo na kumwambia: “Wewe pepo wa bubu na wa kiziwi, ninakuamuru utoke ndani ya mutu huyu wala usimurudilie tena!”


Kisha akatwaa Petro, Yakobo na Yoane na kwenda nao. Akaanza kuwa na hofu na mahangaiko.


Basi wakaingia ndani ya kaburi, na mule wakaona kijana mumoja akiikaa upande wa kuume, akivaa kanzu nyeupe. Nao wakashituka.


Lakini kijana yule akawaambia: “Musishituke! Munamutafuta Yesu wa Nazareti aliyetundikwa juu ya musalaba. Yeye amefufuka, hayuko hapa. Muangalie, hapa ni pahali walipomuweka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite