Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 9:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Yesu akawajibu: “Hakika Elia anapaswa kurudi kwanza kutengeneza mambo yote. Lakini sababu gani Maandiko Matakatifu yanasema vilevile kwamba Mwana wa Mutu atateswa sana na kuzarauliwa?

Gade chapit la Kopi




Marko 9:12
30 Referans Kwoze  

Wale walionipiga, niliwaelekezea mugongo wangu, wale walioziongoa ndevu zangu, mashavu yangu. Sikuficha uso wangu wakati watu waliponitukana na kunitemea mate.


Wengi waliomwona walishituka, kwa vile sura yake ilikuwa imeharibika; hakukuwa tena na umbo la mwanadamu!


Basi Herode na waaskari wake wakamuchekelea Yesu na kumuzarau. Wakamuvalisha nguo zinazokuwa sawa za mufalme na kumurudisha kwa Pilato.


Yawe, Mukombozi na Mutakatifu wa Israeli, anamwambia hivi yule anayezarauliwa sana, yule anayechukiwa na mataifa, na ambaye ni mutumishi wa watawala: Wafalme wataona nao watasimama; wakubwa watainama na kuabudu kwa heshima ya Yawe ambaye anatimiza ahadi zake, kwa heshima ya Mutakatifu wa Israeli ambaye amekuchagua wewe.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Amuka, ee upanga! Simama umushambulie muchungaji wangu, muchungaji anayenitumikia. Umuue muchungaji na kondoo watawanyike. Nitaunyoosha mukono wangu kwa kuwashambulia watu wazaifu.


Na wewe, mutoto wangu, utaitwa nabii wa Mungu Mukubwa, maana utatangulia mbele ya kufika kwa Bwana, kusudi umutengenezee njia.


Mumoja wa wale watenda maovu wawili waliotundikwa juu ya musalaba alimutukana, akisema: “Si wewe ndiwe Kristo? Basi ujiokoe wewe mwenyewe na kutuokoa sisi vilevile.”


Mwana wa Mutu atakufa sawa vile Maandiko Matakatifu yanavyosema juu yake, lakini ole kwa mutu yule atakayemutoa! Ingekuwa heri kwake kama asingezaliwa!”


Tangia wakati ule Yesu akaanza kuwaambia wanafunzi wake waziwazi kwamba ni sherti kwake kwenda Yerusalema, ateswe kule na wasimamizi wa watu, wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria, auawe, na kwa siku ya tatu kisha kufa kwake, atafufuka.


Kisha Yawe akaniambia: Mushahara huo ni malipo kwa kazi yangu? Basi, uzitie katika hazina ya hekalu. Hivyo nikatwaa hivyo vikoroti makumi tatu vya feza, nikavitia katika hazina ya hekalu la Yawe.


Ee Mungu, simama sasa ujitetee! Ukumbuke mazarau ya kila siku ya wasiokujua.


Lakini ninawaambia kama Elia amekwisha kurudi, na watu walimutendea yote waliyotaka, kama Maandiko yanavyosema juu yake.”


kwa sababu alikuwa akiwafundisha wanafunzi wake, akiwaambia: “Mwana wa Mutu atatolewa katika mikono ya watu, nao watamwua, na kwa siku ya tatu kisha kufa kwake, atafufuka.”


Akawaambia: “Tunapanda kwenda Yerusalema na kule Mwana wa Mutu atatolewa kwa wakubwa wa makuhani na kwa walimu wa Sheria. Nao watamuhukumu auawe na kumutoa katika mikono ya watu wa mataifa mengine.


Basi mitume walipokusanyika pamoja na Yesu, wakamwuliza: “Bwana, wakati huu ndio utakapowarudishia Waisraeli ufalme wao?”


Yeye ndiye Maandiko Matakatifu yanayosema hivi juu yake: ‘Jiwe lililokataliwa na ninyi wajengaji, limekuwa sasa jiwe kubwa la musingi.’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite