8 Wote walikula na kushiba. Kisha wanafunzi wakaokota vipande vya mikate na vya samaki vilivyobaki, wakajaza vitunga saba.
Hamukumbuki vilevile ile mikate saba niliyoshibisha nayo watu elfu ine, na ile hesabu ya vitunga mulivyojaza?
Unafumbua mukono wako kwa moyo safi, unatimiza mahitaji ya kila kiumbe kinachoishi.
Musitumikie chakula kinachoharibika, lakini mutumikie chakula kinachodumu na kuleta uzima wa milele. Mwana wa Mutu atawapa ninyi chakula hiki, kwa sababu Mungu Baba ametoa uhakikisho juu yake.”
Anawatajirisha wenye njaa, lakini amewaacha watajiri mikono mitupu.
Watu wote wakakula na kushiba. Kisha wanafunzi wakaokota vipande vya mikate vilivyobaki, wakajaza vitunga kumi na viwili.
Wote wakakula na wakashiba. Kisha wanafunzi wakaokota vipande vilivyobaki, wakajaza vitunga saba.
Watu waliokula walikuwa yapata elfu ine. Kisha kuagana nao,