Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 8:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Basi Yesu akawaagiza wasimwambie mutu neno lile.

Gade chapit la Kopi




Marko 8:30
6 Referans Kwoze  

Halafu Yesu akawaagiza wanafunzi wake kwa nguvu wasimwambie mutu yeyote maneno hayo.


Kisha Yesu akawakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mutu kwamba yeye ndiye Kristo.


Walipokuwa wakishuka toka kwa mulima, Yesu akawaamuru: “Musimwelezee mutu mambo muliyoona mpaka Mwana wa Mutu atakapofufuka.”


Kisha Yesu akamwomba arudie kwake, akimwagiza asirudi katika kijiji.


Yesu akawaagiza wasimwambie mutu habari ya tendo hili. Lakini kwa kadiri alivyowakataza, wao walizidi kutangaza habari.


Kisha Yesu akamwambia: “Angalisho, usimwambie mutu neno juu ya hii. Lakini kwenda na kumwonyesha kuhani jinsi unavyokuwa sasa. Kisha utoe sadaka kama Musa alivyoamuru, kuwa ushuhuda kwa watu wote kwamba umetakaswa.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite