Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 8:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Kipofu akainua macho yake na kusema: “Ninaona watu wakitembea, lakini wanaonekana kama miti.”

Gade chapit la Kopi




Marko 8:24
6 Referans Kwoze  

Macho ya wanaoona hayatapofushwa tena, masikio ya wanaosikia yatabaki wazi.


Siku hiyo viziwi watasikia ujumbe ukisomwa katika kitabu na kutoka katika giza, vipofu wataanza kuona.


Gali alipowaona, akamwambia Zebuli: “Angalia, watu wanashuka kutoka vilele vya mulima.” Zebuli akamwambia: “Wewe unaona vivuli vya milima sawa vile ni watu.”


Yesu akashika mukono wa yule kipofu na kumupeleka inje ya kijiji. Yesu alipokwisha kupakaa mate kwa macho ya mutu yule na kuweka mikono juu yake, akamwuliza: “Unaona kitu?”


Yesu akagusa tena macho ya yule kipofu, naye akapata kuona vizuri. Macho yake yakapona, na kupata kuona vitu vyote waziwazi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite