Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 8:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Muko na macho, lakini hamwoni? Muko na masikio, lakini hamusikii? Hamukumbuki

Gade chapit la Kopi




Marko 8:18
15 Referans Kwoze  

Musikilize, enyi wajinga na wapumbafu: ninyi munaokuwa na macho, lakini hamwoni, munaokuwa na masikio, lakini hamusikii.


kusudi ‘Wapate kuangalia, lakini wasione; nao wapate kusikia, lakini wasikuwe na ufahamu, kusudi wasipate kumugeukia Mungu na kusamehewa.’ ”


Wewe mwanadamu! Wewe unakaa kati ya watu waasi. Wana macho lakini hawaoni; wana masikio lakini hawasikii.


“Mungu amepofusha macho yao, kusudi yasipate kuona. Ameifanya mioyo yao kuwa migumu, wala wasipate kunigeukia nami ningewaponyesha.”


kama vile ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Mungu ameifanya mioyo yao kuwa migumu, macho yao yasipate kuona na masikio yao yasipate kusikia, na ni hivi wanavyokuwa hata leo.”


Watu hao hawajui wala hawaelewi kitu chochote. Wamefungwa macho wasipate kuona na akili wasipate kufahamu.


“Kwa muda wa miaka makumi ine, mimi niliwaongoza katika jangwa, nguo zenu mulizovaa hazikuchakaa wala viatu vyenu havikuchakaa kwenye miguu yenu.


Karamu zao zikuwe mutego kwao, na sikukuu zao ziwanase.


Kwa sababu hii, nitaendelea kuwakumbusha mambo haya siku zote ingawa mumekwisha kuyafahamu na kukamilika katika ukweli muliopokea.


Hamukumbuki kwamba niliwaambia maneno haya wakati nilipokuwa pamoja nanyi?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite