Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 7:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Yesu akaendelea kuwaambia: “Munaacha amri za Mungu pembeni na kushika desturi za watu.

Gade chapit la Kopi




Marko 7:8
4 Referans Kwoze  

Munapokuja mbele yangu kuniabudu, nani aliyewaambia mukanyagekanyage ndani ya viwanja vyangu?


Basi Wafarisayo na walimu wa Sheria wakamwuliza Yesu: “Sababu gani wanafunzi wako hawafuati desturi za babu zetu, lakini wanakula chakula na mikono michafu?”


Nami niliendelea vizuri sana katika dini ya Kiyuda kuwapita watu wote wengine wa kabila langu wenye umri wangu, nikijikaza sana kushika desturi za babu zetu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite