Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 7:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Nao watu wakashangaa sana na kusema: “Mambo anayofanya ni mazuri kweli. Anawawezesha hata viziwi wasikie, nao wabubu wapate kusema.”

Gade chapit la Kopi




Marko 7:37
16 Referans Kwoze  

Kisha akaingia ndani ya chombo walimokuwa, na upepo ukakoma. Kwa hiyo wanafunzi wakashangaa sana,


Mara moja yule kijana akasimama na kuanza kutembea (alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili). Nao watu wakashangaa sana kwa kuona jambo hilo.


Halafu wakaogopa sana, nao wakaanza kuulizana: “Huyu ni mutu gani, hata zoruba na ziwa vinamutii?”


Na watu wote walipokuwa wakimwangalia mutu yule, pale pale akasimama, akatwaa kipoyi chake na kujiendea. Wote wakashangaa, wakamusifu Mungu, wakisema: “Hatujaona mambo kama haya hata mara moja!”


Mungu akaona kwamba kila kitu alichofanya ni kizuri kabisa. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya sita.


Ninakusifu maana umeniumba kwa namna ya ajabu. Matendo yako ni ya ajabu. Wewe unanijua kabisa kabisa.


Wakati makundi ya watu walipoona jambo lile Paulo alilofanya, wakasema kwa sauti katika luga yao ya kilikaonia: “Miungu imetushukia ikiwa na sura ya kimutu!”


Sisi tunahukumiwa kwa haki, kwa maana tunaazibiwa kufuatana na matendo yetu mabaya. Lakini mutu huyu hakufanya ubaya wowote.”


Watu wote wakashangaa sana na kuulizana: “Hatujaona mambo kama haya! Hakika mafundisho haya ni yenye mamlaka! Mutu huyu anaamuru hata pepo, nao wanamutii!”


Siku hiyo viziwi watasikia ujumbe ukisomwa katika kitabu na kutoka katika giza, vipofu wataanza kuona.


Watu hao wawili walipokwisha kwenda, wakamuletea Yesu mutu mumoja bubu aliyeshikwa na pepo.


Yesu akawaagiza wasimwambie mutu habari ya tendo hili. Lakini kwa kadiri alivyowakataza, wao walizidi kutangaza habari.


Katika siku zile kundi kubwa la watu walikusanyika tena. Nao walipokosa chakula, Yesu akawaita wanafunzi wake, na kuwaambia:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite