Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 7:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

35 Mara moja masikio yake yakafunguka, nao ulimi wake ukafunguliwa, akaanza kusema vizuri.

Gade chapit la Kopi




Marko 7:35
7 Referans Kwoze  

Na watu wote walipokuwa wakimwangalia mutu yule, pale pale akasimama, akatwaa kipoyi chake na kujiendea. Wote wakashangaa, wakamusifu Mungu, wakisema: “Hatujaona mambo kama haya hata mara moja!”


vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanapata kusikia, wafu wanafufuliwa na Habari Njema inahubiriwa kwa wamasikini.


Maana alisema, na ulimwengu ukakuwa; alitoa amri, nao ukajitokeza.


Kisha Yesu akaangalia juu mbinguni, akasisimua na kumwambia yule mutu: “Efata,” maana yake, “Funguka!”


Yesu akawaagiza wasimwambie mutu habari ya tendo hili. Lakini kwa kadiri alivyowakataza, wao walizidi kutangaza habari.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite