Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 6:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Akawaagiza: “Musibebe kitu chochote kwa safari yenu isipokuwa fimbo tu. Musibebe chakula, mufuko, wala feza ndani ya mikaba yenu.

Gade chapit la Kopi




Marko 6:8
5 Referans Kwoze  

akiwaagiza: “Musibebe kitu chochote kwa safari yenu, hata ikiwa fimbo, mufuko, mukate wala feza na hata mumoja wenu asivae kanzu mbili.


Musibebe feza, wala mufuko, wala viatu, na musimusalimie mutu katika njia.


Halafu Yesu akawauliza wanafunzi wake: “Nilipowatuma pasipo kubeba feza, wala mufuko, wala viatu, mulikosewa na kitu gani?” Wakamujibu: “Hakuna.”


Muvae viatu lakini musivae kanzu mbili.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite