Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 6:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Kwa hiyo Yesu hakuweza kufanya muujiza wowote kule, isipokuwa aliweka mikono yake juu ya wagonjwa wachache na kuwaponyesha.

Gade chapit la Kopi




Marko 6:5
8 Referans Kwoze  

Na hivi kwa sababu ya kutokuamini kwa watu hao, Yesu hakufanya miujiza mingi kule.


Yesu akamwambia: “Kwa sababu gani unasema: ‘Kama unaweza?’ Yote yanawezekana kwa yule anayeamini.”


akamusihi sana, akisema: “Binti yangu mudogo yuko karibu kufa. Ninakuomba ukuje kwanza kwa kuweka mikono yako juu yake, kusudi apate kupona na kuishi!”


Kwa maana sisi vilevile tumehubiriwa Habari Njema kama vile watu wale. Walisikia habari lakini haikuwafalia kitu, kwa maana wale walioisikia hawakuipokea kwa imani.


Harakisha! Kimbilia kule, nami sitafanya lolote mpaka utakapofika kule.” Hivyo muji ule ukaitwa Soari.


Yakobo akabaki peke yake. Kisha mutu mumoja akakuja, akapigana naye mpaka asubui.


Baba ya Publio alikuwa amelala kwa ajili ya kuwezwa na ugonjwa wa homa na wa kuhara damu. Paulo akaenda kumwangalia, akamwombea na kuweka mikono juu yake, naye akapona.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite