Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 6:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Basi Yesu akawaamuru wanafunzi wake wawaambie watu wote waikae chini kwenye majani kwa makundi mbalimbali.

Gade chapit la Kopi




Marko 6:39
9 Referans Kwoze  

Lakini maneno yote yatendeke katika usawa na katika utaratibu.


kwa maana Mungu hataki sisi tuishi katika fujo, lakini katika amani. Sawa vile inavyokuwa desturi katika makanisa yote ya watu wa Mungu,


Basi Yesu akawaamuru watu waikae chini.


tena alipoona chakula kilicholetwa kwa meza yake, jinsi wakubwa wake walivyoikaa kwenye meza, jinsi watumishi walivyotumika na walivyovaa, vilevile wenye kuleta vinywaji na sadaka za kuteketezwa ambazo alizitoa katika nyumba ya Yawe, alipumbazika na kushangaa sana.


Naye Yesu akawauliza: “Muko na mikate ngapi? Muende kwanza kuangalia.” Walipokwisha kujua, wakamwambia: “Tuko na mikate mitano na samaki mbili.”


Wakaikaa kwa makundi ya watu mia moja mia moja, na makumi tano tano.


(Watu waliokuwa pale walikuwa yapata wanaume elfu tano.) Yesu akawaamuru wanafunzi wake wawaikalishe kwa makundi ya watu makumi tano tano.


Yesu akasema: “Muwaambie watu waikae chini.” (Pale kulikuwa majani mengi.) Basi wakaikaa chini; na hesabu ya wanaume tu ilikuwa yapata elfu tano.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite