Lakini Yesu akawajibu: “Ninyi wenyewe muwape chakula!” Nao wakajibu: “Sisi tuko tu na mikate mitano na samaki mbili. Unataka sisi wenyewe tuende kuwanunulia watu hawa wote chakula?”
“Mutumishi yule alipoondoka, akakutana na mumoja wa watumishi wenzake aliyekuwa na deni lake la vikoroti mia moja vya feza. Akamukamata na kumunyonganyonga shingo na kumulazimisha kulipa deni lake.
Yesu akasema: “Kulikuwa watu wawili waliokopesha feza kutoka kwa mutu mumoja. Mumoja alikuwa na deni ya vikoroti mia tano vya feza na mwingine vikoroti makumi tano.