Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 6:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Mufalme akahuzunika sana, lakini hakumukatalia kwa sababu ya viapo alivyovitoa na kwa sababu ya waalikwa wake.

Gade chapit la Kopi




Marko 6:26
7 Referans Kwoze  

Mutawala huyu akahuzunika, lakini kwa sababu ya viapo alivyotoa na kwa sababu ya waalikwa, akaamuru binti yule apewe kichwa kile.


Wakamwambia mufalme: Yule Danieli anayekuwa mumoja wa wafungwa kutoka inchi ya Yuda hakuheshimu wewe mufalme wala amri uliyotia sahihi. Anafanya maombi yake mara tatu kila siku.


Mara moja yule binti akarudi upesi kwa mufalme na kumwomba: “Ninataka unipe sasa hivi kichwa cha Yoane Mubatizaji katika sahani.”


Mara moja mufalme akamutuma mumoja wa waaskari wake walinzi na kumwamuru aende kuleta kichwa cha Yoane Mubatizaji. Yule askari akaenda ndani ya kifungo na kumukata Yoane kichwa.


Kisha, mufalme akamwambia Yoabu: “Sasa sikiliza, ninakubali shauri lako. Kwenda umurudishe yule kijana Abusaloma.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite