Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 6:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Kwa hiyo Herodia akamuwekea Yoane chuki na kutaka kumwua, lakini hakuweza kwa sababu ya Herode.

Gade chapit la Kopi




Marko 6:19
7 Referans Kwoze  

Usikuwe mwepesi wa hasira, maana, hasira inakaa ndani ya wapumbafu.


Basi, Ahabu alipomwona Elia, akasema: “Ewe adui yangu, umeninasa tena?” Elia akamujibu: “Ndiyo! Nimekunasa, kwa sababu wewe umekusudia kabisa kutenda maovu mbele ya Yawe.


Herode alikuwa amemukamata Yoane akamufunga minyororo na kumutia ndani ya kifungo. Herode alifanya vile kwa sababu ya Herodia, muke wa ndugu yake Filipo.


Na ilikuwa kwa sikukuu ya kuzaliwa kwa Herode, binti ya Herodia akacheza mbele ya wote walioalikwa. Binti yule akamupendeza Herode sana


Ninyi mumeona mambo mengi, lakini hamuelewi kitu. Masikio yenu yako wazi, lakini hamusikii kitu!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite