Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 6:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Yoane alikuwa amemwambia kwamba hana sheria ya kumwoa yule muke wa mudogo wake.

Gade chapit la Kopi




Marko 6:18
8 Referans Kwoze  

Kama mwanaume akimwoa muke wa ndugu yake, anamupatisha ndugu yake haya, huo ni uchafu; wote wawili watakufa bila watoto.


Usilale na muke wa ndugu yako, huyo ni shemeki yako.


Lakini Mikaya akamujibu: “Kama vile Yawe anavyoishi, mimi nitasema tu yale Yawe atakayoniambia.”


Wakamutemea mate, wakatwaa lile tete na kumupiga nalo juu ya kichwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite