18 Yoane alikuwa amemwambia kwamba hana sheria ya kumwoa yule muke wa mudogo wake.
Kama mwanaume akimwoa muke wa ndugu yake, anamupatisha ndugu yake haya, huo ni uchafu; wote wawili watakufa bila watoto.
Usilale na muke wa ndugu yako, huyo ni shemeki yako.
Lakini Mikaya akamujibu: “Kama vile Yawe anavyoishi, mimi nitasema tu yale Yawe atakayoniambia.”
Wakamutemea mate, wakatwaa lile tete na kumupiga nalo juu ya kichwa.