Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 6:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Ni Herode mwenyewe aliyeamuru kwamba Yoane akamatwe na kutiwa katika kifungo. Ilitokea vile kwa sababu Herode alimwoa Herodia, muke wa ndugu yake Filipo.

Gade chapit la Kopi




Marko 6:17
7 Referans Kwoze  

Yoane Mubatizaji, akiwa katika kifungo, akapata habari za mambo Kristo aliyokuwa akifanya. Basi akawatuma wanafunzi wake


Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Tiberio mufalme wa Roma, Pontio Pilato alikuwa liwali wa jimbo la Yudea, na Herode alikuwa mutawala wa jimbo la Galilaya na ndugu yake Filipo alikuwa mutawala wa inchi ya Iturea na ya Tarakoniti. Vilevile Lisania alikuwa mutawala wa inchi ya Abilene,


Yesu aliposikia kwamba Yoane ametiwa katika kifungo, akaenda zake Galilaya.


Lakini Herode aliposikia habari zile, akasema: “Ni yule Yoane Mubatizaji niliyemukata kichwa ndiye amefufuka!”


(Wakati ule Yoane alikuwa hajawekwa katika kifungo.)


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite